Monday, November 11, 2013

Al Ahly ya Misri yashinda klabu bingwa Afrika

Al Ahly beat Pirates to be crowned African Champions
Klabu ya Al Ahly ya Misri imeshinda taji la klabu bingwa Afrika baada ya charaza Orlando Pirates ya Afrika Kusini kwa magoli 2-0 katika mchezo wa marudiano wa mechi ya mwisho mjini Cairo. Ahly, wanyakua kombe hili kwa mara ya saba baada ya kuibuka na ushindi wa jumla ya magoli 3-1.

No comments:

Post a Comment