Mandela akifurahia siku Afrika Kusini ilipochaguliwa kuandaa michuano ya kombe la dunia

Mandela akiwa na Rais wa FIFA Sepp

Mandela na mkewe kwenye siku ya ufunguzi wa michuano ya kombe la dunia nchini Afrika Kusini

Mandela akitoa pongezi kwa timu ya Afrika Kusini ya rugby baada ya ushindi


Mandela na Pele
Mandela alitembelewa na timu ya taifa ya Ghana mwaka 2010


Mandela na timu ya taifa ya England

Mandela na Hamilton (bigwa na mashindano ya magari)

Adebayor na Robinho wakiwa na Mandela

Ronaldo akiwa na Mandela mwaka 2010 kabla ya michuano ya kombe la dunia

Sir Alex akiwa na Mandela enzi hizooooo wakiwa bado na umri wa makamo

Tiger Woods akiwa na Mandela

Eto'o na Pele wakiwa na Mandela
Tyson akiwa na Mandela

Mandela akishangilia ushindi wa Olimpiki

Man city wakimtakia heri ya kuzaliwa Mandela siku waliyokwenda Afrika Kusini kucheza mechi ya kirafiki
No comments:
Post a Comment