Picha hii inamuonesha kocha wa Chelsea, Jose Mourinho akiwa ndani ya uwanja kwenye mechi kati ya Chelsea na Everton jana jioni. Mourinho aliingia uwanjani huku mechi ikiwa inaendelea akilalamikia maamuzi ya refa. Picha pia inaonesha alikuwa amesimama nje ya sehemu anayotakiwa kusimama. Tukio hili ni la kushangaza na kuchekesha kwa kocha kuingia uwanjani wakati mpira unaendelea.
No comments:
Post a Comment