Meireles mchezaji wa zamani wa Liverpool na Chelsea akiwa na mkewe, kwa pamoja wameonekana wakiwa na tattoos mwili mzima wikiendi hii walipokuwa kwenye fukwe za Miami nchini Marekani. Tottoos umekuwa ni mtindo wa wakati huu kwa watu wengi wakiwemo wanasoka. Lakini wataalamu wa tattoos duniani wanamewashauri wale ambao bado hawajaweka tattoo hata moja wasijaribu kuchora, kwani mtindo huu ni kama kilevi, ukichora moja zingine zitafuta ndiyo maana watu wengi hususani wanamichezo na wanamuziki wanatattoo nyingi, kwani tattoo moja huzaa nyingine, kama anavyoonekana Meireles na wengine akiwemo Beckham, Dani Alves nk. Lakini kwa wale ambao wanatattoo, wameshauriwa kuchagua tattoo kwa umakini na kuzuia tamaa za kutaka tattoo zingine ili kuepukana na kuchora mwili mzima. |
Monday, June 17, 2013
Raula Meireles na mkewe wote wapenzi wa tattoos
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment