Tuesday, April 16, 2013

Balotelli ameendeleza kujianika na mpenzi wake

Mario Balotelli amendeleza kuanika mahusiano yake mapya na  mwanamitindo  Neguesh baada ya kuweka picha kwenye twitter yake akiwa amempakata mpenzi wake huku wakifurahia jambo. Balotelli alimtaja Neguesh kuwa ndiye mtu anayefanya maisha yake yawe na furaha kuliko alipokuwa jijini London
Neguesh mpenzi wa Balotelli akionesha tattoo yake mpya aliyoandika maneno ya kimapenzi kwa Mario. Balotelli  alianza mahusiano na Neguesh miezi sita iliyopita baada ya kuachana na Raffaela Fico. Raffaela na Balotelli walifanikiwa kupata mtoto mwezi desemba mwaka jana 2012 lakini hadi leo Balotelli hayawahi kumuona mtoto wake zaidi ni kutupiana maneno na Raffaela wakigombana kuhusu malezi ya mtoto. 

No comments:

Post a Comment