Tuesday, July 9, 2013

Ratiba ya mazoezi ya Taifa Stars kuikabili Uganda

Taifa Stars chini ya Kocha Kim Poulsen inaendelea kujinoa jijini Dar es Salaam tayari kuikabili Uganda (The Cranes) katika mechi ya kufuzu kwa Fainali za Afrika kwa Wazhezaji wa Ligi za Nyumbani (CHAN) itakayochezwa Jumamosi (Julai 13 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Ratiba ya mazoezi kwa Taifa Stars ni kama ifuatavyo;
Jumanne- Julai 9 mwaka huu      Saa 9 alasiri        Uwanja wa Taifa
Jumatano- Julai 10 mwaka huu   Saa 9 alasiri       Uwanja wa Taifa
Alhamisi- Julai 11 mwaka huu       Mapumziko
Ijumaa- Julai 12 mwaka huu       Saa 10 jioni         Uwanja wa Taifa

No comments:

Post a Comment