Monday, July 8, 2013

Mourinho aanza kwa kasi kuinoa Chelsea

To be Frank: Some of the Chelsea players might be surprised to see their new boss taking sessions with an iPad
Jose Mourinho akiwapa mafunzo wachezaji wa Chelsea kwa mara ya kwanza baada ya kujiunga na klabu hii akitokea Real Madrid. Tofauti na klabu zingine ambazo kwa wiki za mwanzo wameonekana wakifanya mazoezi ya kawaida, lakini Jose ameonekana akiwapa mazoezi ya nguvu wachezaji wake kwa kuwafundisha mbinu mbalimbli kwa nadharia na vitendo. 
Welcome back, Jose: Frank Lampard and John Terry will be pleased to see the return of Mourinho to Chelsea
Jose Mourinho aka 'the only one' akiwa kazini 
Under instruction: The Portuguese speaks to Demba Ba and Gary Cahill while armed with an iPad
Kazi ipo msimu ujao...

No comments:

Post a Comment