Friday, January 17, 2014

Maoni ya washabiki wa Simba kuhusu Ramadhan Singano a.k.a MESSI kupitia mtandao wa Facebook


Michael Vidoga nouma sana huyu dogo...taifa la kesho

Samwel Gabriel Fatacky Muulize Yondan atamuelezea vizuri kweli kweli

Alex Amlima huyu dogo anaweza sana na anajua nn anachokifanya muulize yondani na luende wanamjua huyu dogo amesababisha mpaka kocha kafukuzwa dah huyu dogo anajua sana


Physical Kagya Ni hazina kubwa sana Kwa club yetu pamoja na taifa na mda sio mrefu tunamuuza nje kama kawaida ya msimbaz

Bakari Mganga mm n mshabiki halali w mnyama,huyu ndye MESSI wa TZ nadhan akun m2 anayebish kuhusu messi anawez xan mchezaji wng ,na pia anawezo w kubadilisha mchezo apoingiapo ndan y uwanja ,kazi yke inaonekan na v2 vzur xan kam anauwezo w kukimbia na mpira,anauwezo w kuumilik mpira atakavyo yeye,n foward atali xan kwnye ligi kuu na pia ndio changua la koch loga..nn meng yakumuelezea ramadhan singano messi..!

Daniel Enyimba Nikija mzuri sana ila nivema akawa anaingia kipindi cha pili akiwa amewasoma wapinzani ndo ninaloshauri

John Makala ana tumia kipaji chake vizur kama mfanyakaz mwingine anayetambua wajibu wake kazin , unasubir nn na ww jitambue uwapo kazin kwako ili utimize ndoto zako za maisha

Hamza Kakanyi Awe na malengo,mazoezi kwa bidii mabinti tupa kule,vyakula vya kukuimarisha nguvu hapo Ulaya utafika

Vicent Malamba Yuko vizuritu ila, kuhusu KAPOMBE mko na mpango gani na hili jembe leyu la ukweli kama vp fanyeni fasta asijechukuliwa na yanga tena kama alivyoluwa OKWI.

Israli Dunda Dogo akipangiwa ratiba nzuri ya chakula akipata mazoezi mazuri bonge la mchezaji,aongeze mwili na nguvu,kibongobongo fundi sana,kama kuna mtu anabisha ammulize Chiji na Canavaro!

Imani Jonas kuna mnafiki kajifanya naipenda simba mshabiki wa damu kumbe snitch tuuuu singano kiukweli kipaji anaweza sanaaaa na simba haimtendei haki kama itakuwa inamlipa mkwanja kidogo


Dito Suarez Dogo anaweza Muachen shabk wa yanga akasilke lakn ukwel Mess wa sasa nizaid ya okwe huyu wanga Sio yule wasimba alye kua moto wakuotea mbal yondan luende walkpata

Fortunatus Masele Dogo ni bonge la mchezaji,asibweteke tu maana ndiyo njia pekee itakayomfanya atoke kisoka. Ana kila sifa ya kucheza nchi za nje

Frank Monyo ANAJUA ila kombe amelisahau ZANZIBAR

Yusuf Salehe Sijaona hapa tz kama yeye,ila asije akalewa sifa za mashabiki afanye kazi

Zuhura Mwinyi Mesiiiiiii wapi singano, uko juuuuu dogo. Hata wale watalii wanalifahamu hilo.

Carlos Gichogo Dogo yuko fit sana, yaani kifupi mpira anaujua ila aangalie asijemalizia maujuzi yake hapa bongo kama Ngasa. Huu ni muda muafaka wa yeye kutafuta malisho bora Ulaya. Ndumbalo msaidie dogo kwani anautajiri miguuni kwake!


Mc Richard Kwayu Huyo ni noma Luhende anamjua vizuri kila siku anamuota utasikia nimempatia dawa oo safari hii atanikoma!!!Chezea mess wewe

Philipo Massay Dogo anatisha vilabu vingine vinahaha watamzibiti vipi mzunguko wa pili that is why yanga wakakimbilia u2ruki na Coastal huko Oman.ANATISHA.

Lugegi Kimasa hana mfano kwa sasa ila walikuwepo na watakuwepo.hivyo ajue kuwa wapinzani wapo.asibweteke.mshabiki nambo moja wa simba toka geita-geita tanzania.

No comments:

Post a Comment