Wachezaji wa Brazil wakiwa hotel kabla ya mechi dhidi ya South Africa
Rio akiwa na mpishi wa moja ya restaurant nchini UK ambapo alikwenda kujifunza baadhi ya mambo kwenye upishi
Rafael Nadal bingwa wa tenesi akiwa mapumzikoni Indian Wells na mpenzi wake
Mario Balotelli akipozi baada ya kucheza table tenesi, amejisifia kwenye akaunti yake ya twitter kuwa anaweza kucheza vyema mchezo huu kuliko soka
Serena akiwa kwenye tuzo za Oscar nchini Marekani wiki hii
Wachezaji wa Spain (Casillas, Ramos, Fàbregas, Juanfran, Jordi Alba, Cazorla, Negredo, Reina na Koke) wakiwa kambini kabla ya mechi yao ya kirafiki dhidi ya Italy
Pique akitaniana na Puyol siku ambayo Puyol alitangaza nia yake ya kuondoka Barca mwisho wa msimu
No comments:
Post a Comment