Thursday, March 28, 2013

Balotelli, mapenzi ya Fanny ndiyo sababu mimi kubadilika


Mario na Fanny
Mshambuliaji wa Ac Milan Mario Balotelli ameweka wazi siri ya mafanikio yake baada ya kuhamia nchini Italy akitokea England (Man City). Balotelli amesema kwasasa yupo kwenye mapenzi mazito sana na Fanny “ ni kweli kiwango changu kimepanda, sababu kubwa ni Fanny mpenzi wangu wa sasa, nampenda sana, amefanya maisha yangu yabadilike, naweza kuishi naye maisha yangu yote duniani, namshukuru sana Fanny, ameyaweka mapenzi yetu mbele, hakuna jambo linaloweza kuingilia mapenzi yetu, ki-ukweli Fanny ndiye aliyenifanya nibadilike maisha yangu ya ndani na  nje na kiwanja. Mario Balotelli aliyehamia Ac Milan kutoka Man City kwa paundi milioni 19 ameshacheza mechi sita na kufunga magoli saba.   

No comments:

Post a Comment