Klabu ya Everton leo imethibitisha kuwa kocha wake David Moyes ataondoka mwishoni mwa msimu huu baada ya mechi ya mwisho. Moyes anaondoka Everton tayari kuanza kazi mpya ya kuifundisha klabu ya Man utd. Picha hii imepigwa leo asubuhi wakati Moyes alipokuwa anakwenda kukutana na mmiliki wa Everton bwana Bill ili kukamilisha mipango yake ya kuhamia Man utd. |
No comments:
Post a Comment