Monday, August 19, 2013

Video: Mourinho aumbuka na teknolojia mpya ya goli

Angalia video inayomuonesha kocha wa Chelsea Jose Mourinho alivyoumbuka akidhani goli limeingia katika mechi kati ya Chelsea na Hull. Mourinho aliumbuka baada ya refa wa akiba kumuonesha saa iliyoonesha 'No goal' teknolojia ambayo EPL imeanza kuitumia msimu huu wa ligi. 



BSCxuWVCQAAFWn0 Jose Mourinhos reaction to the Goal Decision System during Chelsea 2   Hull 0
Picha zinazoonesha tukio zima la 'NO GOAL', ambapo mpira haukuweza kuvuka mstari wa kati

No comments:

Post a Comment