Tuesday, February 4, 2014

Nje ya dimba Manchester City vs Chelsea - Etihad

What's up, lads? Yaya Toure and Samuel Eto'o square up in the tunnel
Toure na Eto'o wakiwa kwenye maongezi wakati wa mapumziko Man city vs Chelsea. Kuwa wote Waafrika ndiyo sababu kubwa ya wachezaji hawa kupiga story wakati wa mapumziko. Hali hii ni kunaonesha umoja wa Waafrika pindi wanapokuwa ughaibuni. 

Have mine! Toure and Eto'o chose to swap shirts at half-time
Eto'o na Toure wakibadilishana jezi wakati wa mapumziko 

What's going on? The pair were involved in a frank exchange in the tunnel at the break
Move out of my way! Amusingly, referee Dean was left stranded behind Toure and Eto'o
Helping hand: Eto'o checks to see the state of Toure after a clash during City's home defeat
Eto'o akimfariji Toure baada ya mechi kuisha huku Chelsea wakitoka na ushindi wa goli 1-0. 

Bofya kucheki video ya matukio yote ndani ya tunnel - Man city vs Chelsea 

Ndani ya video hii kuna; Eto'o na Toure wakibadilisha jezi na kuongea, manahodha wa timu kukutana kwenye chumba na waamuzi, makocha wakihojiwa, majina ya wachezaji waliyocheza kutangazwa, wachezaji wakipeana moyo, wachezaji walivyoingia na kutoka n.k

No comments:

Post a Comment