Wednesday, April 24, 2013

Man utd wajiachia kusherekea ubingwa

Wachezaji wa Man utd walijiachia kwenye kumbi za starehe usiku wa jumatatu baada ya mechi kati ya Man utd na Aston Villa. Ushindi iliyoupata Man utd kwenye mechi hiyo wa magoli matatu kwa bila umeifanya United itwae ubingwa wa ligi kuu nchini England mara ya 20 kitu ambacho kiliwafanya wachezaji hao wajiachie usiku kucha kwenye kumbi za starehe jijini Manchester. Picha mbalimbali zinaaonesha jinsi wachezaji hao wa Man utd walivyosherekea ubingwa kuanzia uwanjani hadi kwenye kumbi za starehe. 

Spray: Ferdinand goes wild with the champagne after sealing title No 20
Rio akiwaongoza wenzake kufungua shampeni ndani ya chumba cha kubadilishia nguo old traford
Let the party begin: A bare-chested Ferdinand bounces around in the dressing room


Proud: Van Persie holds up his No 20 shirt after Manchester United claim their 20th league title
RVP akionesha namba ya jezi yake inayolingana na idadi ya vikombe United ilivyoshinda hadi sasa

Time to go: David de Gea (right) leaves at 5.15 am and is spotted by two members of the public
De Gea akiwa na mshikaji wake sambamba na mpenzi wake wakielekea kwenye kumbi ya starehe

All together now: Ferdinand posted this picture of the United squad on his Twitter account
Wachezaji wa Man utd wakiwa bar kusherekea ushindi wao
Wayne Rooney outside Cafe Rouge  Rio Ferdinand and Anderson

Ready to go: Rooney (centre) and Michael Carrick right Strolling: Van Persie and Alexander Buttner

Heading out: Chris Smalling (left), Phil Jones (centre) and Ben Amos (right)

Thumbs up: Hat-trick hero Van Persie was pretty happy with his night's work

Rowdy: Jones (left) makes a funny face behind fellow defender Smalling
Jones na Smalling wakifanya utani na watu waliokutana nao bar
The night is young: Players including Chris Smalling and Phil Jones headed off to the casino in the early hours

Hardcore: Ryan Giggs makes his exit by jumping in a cab at 5.20am
Giggis akipanda teksi saa 12 asubuhi baada ya kushereheka na wenzake
Here comes Robin Danny Welbeck

No comments:

Post a Comment