Sunday, July 7, 2013

Murray bingwa wa Wimbledon kwa mara ya kwanza

Making history: Andy Murray celebrates winning the first set against Novak Djokovic on the way to winning
Andy Murray ameshinda kwa mara ya kwanza Wimbledon akiwa nyumbani baada ya kumpiga kwa seti tatu mfululizo Novak Djokovic 6-4, 7-5, 6-4. Murray anakuwa ni Muingereza wa kwanza kushinda kombe hili baada ya miaka 77 na ataingia kwenye historia ya Waingereza kama mchezaji aliyeweza kufungua ukurasa mpya wa nchi hiyo kwenye ulimwengu wa tenesi tokea mwaka 1936. Murray ambaye ni mchezaji namba mbili duniani kwenye tenesi atakuwa ameongeza pointi zitakazomfanya ashindane na Djokovic ambaye ni namba moja duniani kwa ubora wa tenesi. Wachezaji hawa wanatarajia kupambana tena kwenye Grand Slam iliyobakia mwaka huu US open ambayo itaanza Agosti 26 hadi Septemba 8 mwaka huu.
Writing the history books: Andy Murray is the first Brit to lift the Wimbledon men's trophy since 1936

Wageni mbalimbali waliohudhuria fainali ya leo 

Famous fans: Wayne and Coleen Rooney in the Royal Box supporting Andy Murray
Rooney na mkewe 
Prime Minister: David Cameron arriving in the Royal Box for the final
Cameron - Waziri mkuu England 
Hot stuff: Victoria Beckham looked very summery as she arrived
Victoria mke wa Beckham 

No comments:

Post a Comment