Tuesday, July 9, 2013

Washikaji wakutana kukumbushana za enzi hizo

Reunited: David Beckham, Paul Scholes, Nicky Butt, Ryan Giggs, Phil Neville and Gary Neville are spotted heading to Artisan Bar & Restaurant in Manchester on Monday night
Wacheza wa zamani wa Man utd (David Beckham, Ryan Giggs, Gary Neville, Phil Neville, Nicky Butt na Paul Scholes) walikutana jumatatu ya wiki hii kula bata pamoja na kukumbushana mambo ya enzi hizo. Wachezaji hawa walikutana Man utd tokea mwaka 1992 na walianza kuvuma sana miaka ya 1997 hadi 2010. Kutokana na mafanikio waliyoyapata wakiwa na Man utd, wachezaji hawa hadi leo bado ni mabalozi wazuri klabu yao, na zaidi pia kwa Giggs na P.Neville ambao wamechaguliwa kuwa makocha wasaidizi wa klabu. Haya ni moja ya matunda ya kocha mstaafu Sir Alex ambayo yameanza kuinufaisha klabu kwa mara ya pili, kwani ni klabu chache sana zilizofanikiwa kuwatunza na kufunda wachezaji wake hadi wakaweza kufikia hatua ya kuwa makocha ndani ya klabu zao. Kwa hili Man utd wanastahili pongezi.....   
Six of the best: Beckham, Scholes, Butt, Giggs, Gary Neville and Phil Neville
Topic kubwa zilikuwa ni Sir Alex, makombe matatu mwaka 1998/99 na ........hizi ni hisia zangu tu wadau
David Beckham, Paul Scholes, Nicky Butt, Ryan Giggs, Gary Neville and Phil Neville
David Beckham, Paul Scholes, Nicky Butt, Ryan Giggs, Gary Neville and Phil Neville
David Beckham, Paul Scholes, Nicky Butt, Ryan Giggs, Gary Neville and Phil Neville Paul Scholes
Hii ilikuwa ni mida ya usiku wakitokea Artisan Bar kuelekea club kuendeleza bata 

Rising stars: The prodiges with youth team coach Eric Harrison and Terry Cooke (far right)
Enzi hizooooo mwaka 1992 

No comments:

Post a Comment