VIP room za uwanja wa Azam Fc kama zinavyoonekana hivi sasa baada ya maboresho
Muonekano mpya wa uwanja wa Azam FC Chamanzi. Azam imeendelea kufanya maboresho uwanja wake ili kuuwezesha kupata tiketi ya kutumika kwenye michuano ya klabu za Afrika ambapo Azam FC itashiriki kuiwakilisha Tanzania bara.
Basi jipya la Azam FC
No comments:
Post a Comment