Friday, January 17, 2014

Jose Mourinho aisifia Man utd mbele ya waandishi

Theatrics: The Portuguese had plenty to say ahead of Chelsea's clash with Manchester United on Sunday
Nukuu za Jose Mourinho wakati akiongea na waandishi wa habari kuhusu mechi kati ya Chelsea na Man utd. 
-"Hatuendi uwanjani kucheza na timu iliyopo nafasi ya kumi na moja kwenye ligi. Tunakwenda kucheza na mabingwa watetezi wa kombe la ligi"
-"Timu ambayo ipo kwenye matatizo (Man utd) ndiyo timu ngumu zaidi kucheza nayo" 
-"Kwa jinsi mwenendo wa ligi unavyokwenda nadhani jambo la msingi kwetu ni kujihakikishia nafasi ya nne (top four) kwanza kabla ya kufikiria masuala ya ubingwa" 
-"Kuhusu usajili, kikosi chetu kimekamilika sana, nahisi kwa kipindi hiki tutauza zaidi wachezaji kuliko kusajili" 

Wachezaji wa Chelsea wakiwa mazoezini kujindaa na mechi dhidi ya Man utd
Leading the way: John Terry prepares for Sunday's game with Manchester United
Andre Schurrle Wrapping up: Eden Hazard keeps warm
Eyes on the ball: Midfielder Frank Lampard trains at Chelsea's training ground
Giving instructions: Mourinho wraps up during training at Chelsea's Cobham base
New boy: Nemanja Matic (right) trains with Demba Ba and his new team-mates at Cobham on Thursday
Ready for the big one: Oscar and Ramires train ahead of the visit of Manchester United
Boys from Brazil: Willian is chased by compatriot Oscar during training

No comments:

Post a Comment