Thursday, March 21, 2013

Rio atoa maelezo ya safari yake Qatar


Beki wa Man Utd, Rio Ferdinand amesema safari yake ya kwenda Qatar ilikuwa haijapangwa. Rio ameandika kwenye Twitter yake kuwa, safari  imekuja ghafla, alikuwa hajui kama atakwenda Qatar kwa ajili ya football academy na kufanya mahojiano ya TV. Ferdinand ametoa maelezo haya baada ya kupata taarifa kuwa kitendo chake cha kujitoa timu ya taifa kimesabashwa na mipango yake ya kwenda Qatar.  

No comments:

Post a Comment