Friday, April 19, 2013

Chelsea warudisha kombe la UEFA champions

John Terry na Frank Lampard wakimkabidhi Michael Platini Rais wa UEFA kombe la champions ligi wakiwa kama mabingwa wa kombe hilo msimu uliopita. Mwaka huu kombe hili litakwenda Ujerumani au Hispania ikiwa zimebaki timu nne kutoka nchi hizi (Bayern Munich, Borussion Dortmund, Barcelona na Real Madrid)
Say goodbye: Chelsea players Petr Cech, John Terry, Fernando Torres and Branislav Ivanovic (left to right) with UEFA President Michel Platini (centre)
Wachezaji wa Chelsea wakiwa kwenye picha ya pamoja na Rais wa UEFA Platini siku ya kukabidhi kombe la UEFA champions kabla ya Platini kulikabidhisha kwa FA ikiwa ni waandaaji wa fainali za UEFA mwaka huu kwa upande wa wanaume na wanawake zitakazofanyika kwenye viwanja vya Wembley na Stamford Bridge nchini Uingereza


Kate Hoey meya wa London, Raisi wa UEFA Michel Platini, Hugh Robertson na David Bernstein mwenyekiti wa FA wakiwa na vikombe vya UEFA champions kwa wanaume na wanawake jijini London ambako fainali za mwaka huu zitafanyika


No comments:

Post a Comment