Ben Watson wa Wigan kulia akishangilia goli la ushindi alilofunga dakika ya 90 dhidi ya Manchester city katika mechi ya fainali FA cup. Wigan wamefanikiwa kushinda FA cup kwa mara ya kwanza tokea klabu hiyo ianzishwe mwaka 1932.
|
Wigan wakinyanyua kombe la FA kwa furaha baada ya kuwaaibisha Man city ambao waliingia uwanjani wakijua wanakwenda kushinda badala yake wamejikuta wakiabishwa vibaya na vibonde wa ligi Wigan
|
Kipa wa Man city Hart akiruka bila mafanikio na kuacha mpira kuingia wavuni
|
Wachezaji wa Man city wakiwa wameshika viuno baada goli kufungwa dakika ya 90 hakuamini kilichotokea wakishuduia wanamaliza msimu pasipo na kikombe chochote. Click tab ya video highlights juu ya blog hii kuangalia dondoo za mechi hii
|
No comments:
Post a Comment