Hii ni ngao ya ubingwa waliyokabidhiwa Bayern Munich leo hii baada ya kutwaa ubingwa wa 22 wa ligi kuu nchini Ujerumani Bundesliga.
|
Nahodha wa Bayern Munich Philipp Lahm akinyanyua juu ngao ya ubingwa baada ya mchezo wa leo dhidi ya FC Augsburg ambapo Bayern imeshinda kwa magoli 3-0.
|
No comments:
Post a Comment